Global perspective Human stories
…
continue reading
Un Global Communications Digital Solutions Unit Podcasts
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
UN human rights chief warns of risks from AI misuse, worker exploitation and rising corporate powerUkraine: UN notes civilian impact of Kharkiv strikesGaza: UN says aid missions denied and shelter conditions worsening under winter rainsMalaria: Gavi–UNICEF deal cuts vaccine price, set to protect millions more children…
…
continue reading
1
From remote Nepali villages to the UN: Fighting inequality on a global scale
13:40
13:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
13:40Reducing inequality in Nepal remains a major challenge, as the co untry continues to struggle to meet its Sustainable Development Goal (SDG) targets. Among those tackling this issue is Aishworya Shrestha, a young Nepali social worker recently named a UN Young Leader for the SDGs. Ms. Shrestha leads community-driven mental health and empowerment pro…
…
continue reading
Gaza: Two children killed per day since ceasefire, says UNICEFBusiness must align with human rights standards, insists UN’s Volker TürkIn Ukraine, not a day goes by without civilians coming under attack: OCHABy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
1
Mradi wa FAO wajenga mnepo baada ya mafuriko nchini Rwanda
3:16
3:16
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:16Mwezi Mei 2023, Rwanda nchi iliyozungukwa na milima ilikumbwa na mafuriko makubwa yaliyosababisha maporomoko ya ardhi na kusababisha maji kutoka katika milima ya volkano, yakiambatana na mawe mazito kuharibu mashamba, makazi na barabara. Baada ya mafuriko hayo ili kupunguza athari za majanga kama hayo,kwa wakati wmingine Shirika la Umoja wa Mataifa…
…
continue reading
1
Jamii za asili Peru zaongeza uzalishaji wa kakao kwa mbinu bunifu za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi
4:01
4:01
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:01Katika msitu wa Amazon upande wa nchi ya Peru, jamii za watu wa asilizimeonesha namna mbinu bunifu za kilimo zinaweza kuongeza uzalishaji na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Yote haya yanakuja wakati dunia ikiendelea kujadili mustakabali wa hatua za kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi katika mkutano wa Umoja wa Mataifa COP30 unaoendelea h…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia machafuko nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, mbinu bunifu za kilimo cha kakao nchini Peru, na mradi wa miundombinu wa kupunguza athari ya mafuriko na kugeuza maji ziada kuwa rasilimali muhimu kwa jamii nchini Rwanda.Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ujulika…
…
continue reading
1
MONUSCO imelaani vikali mashambulizi ya ADF Lubero nchini DRC yalioua raia 89
2:56
2:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:56Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC ujulikanao kama MONUSCO, leo umelaani vikali mashambulizi makubwa yaliyofanywa na kundi lenye silaha la Allied Democratic Forces ADF kati ya tarehe 13 na 19 Novemba 2025 katika baadhi ya maeneo ya Lubero, jimboni Kivu Kaskazini na kukatili maisha ya raia wengi. …
…
continue reading
Ukraine: Spike in Russian attacks highlights need to extend refugee protections, says UNHCRWHO: European health sector fails nearly one in three survivors of gender-based violenceYouth Activists Summit celebrates hope over hate and ‘humanity over hostility’By Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katka kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa lugha ya Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "MTAWALIA.”By Joramu Nkumbi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika Kaunti ya Kajiado iliyoko Kusini na Kusini magharibi mwa jiji la Nairobi nchini Kenya kumulika upatikanaji wa huduma za choo na hasa choo safi na salama ambazo bado ni kizungumkuti kote dunianini.Katibu Mkuu wa Umoja wa, António Guterres,akizungumza na waandishi wa habari hii leo ameto…
…
continue reading
1
A guiding light in the Amazon: Barcarena’s school proves model of climate resilience
5:32
5:32
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
5:32During his visit to Barcarena in the Amazon basin – a UN-recognized Resilience Hub – the UN’s disaster risk reduction chief, Kamal Kishore, has been seeing climate resilience first hand; not just through infrastructure, but through imagination, education, and community-driven action. The top official is at COP30 in Belém and told UN News that from …
…
continue reading
Gaza: ‘death of dignity’ for displaced Palestinians, warns UNICEFUkraine reeling from another night of deadly Russian airstrikesWHO: AI can transform health care - but legal safeguards are neededBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
1
Watu bilioni 3.4 hawana huduma salama ya vyoo duniani - WHO
2:56
2:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:56Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO leo linaadhimisha Siku ya Choo Duniani kwa onyo kali kwamba janga la usafi wa mazingira duniani linagharimu maisha kila siku, na mabadiliko ya tabianchi yanaliweka katika hatari kubwa zaidi huku mamilioni ya watu wakiishi bila huduma muhimu ya choo. Flora Nducha na taarifa zaidi…
…
continue reading
1
Wanawake nchini Sudan waomba amani irejee kwani mateso yamezidi
2:30
2:30
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:30Wakinamama wakimbizi wa ndani nchini Sudan wameziomba jumuiya za kimataifa kuwasaidia kuhakikisha vita inaisha nchini mwao ili waweze kuishi kwa amani kwani madhila waliyopitia ni mengi na yanahuzunisha. Tuungane na Leah Mushi kupata tarifa zaidi.By Leah Mushi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe katika siku ya Choo Duniani, simulizi za wakinamama wakimbizi wa ndani nchini Sudan, na usugu dhidi ya Viua-Vijasumu (AMR).Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa Duniani WHO leo linaadhimisha Siku ya Choo Duniani kwa onyo kali kwamba janga la usafi wa mazingira duniani linagharimu maisha kila siku, na mabadiliko ya …
…
continue reading
1
Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu, AMR ni jukumu la kila mtu – Profesa Mohamed Janabi, WHO Afrika
2:38
2:38
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:38Usugu dhidi ya Viua-Vijasumu (AMR)unaelezwa kama janga la kimyakimya linalotishia kurudisha nyuma mafanikio ya miongo kadhaa katika tiba na afya. Tunapoadhimisha Wiki ya Kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu usugu dhidi ya Viua-Vijasumu au antibiotics, Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani, WHO Kanda ya Afrika, Profesa Mohamed Jan…
…
continue reading
Gaza: UN chief welcomes Security Council resolution to end conflictWFP prioritizes feeding 110 million of the hungriest in 2026 as global hunger deepensLebanon: ongoing Israeli Blue Line violations prevent peaceBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo Dkt. Mwanahija Ali Juma, Katibu Mtendaji wa Baraza la Kiswahili, Zanzibar nchini Tanzania, BAKIZA anafafanua maana na matumizi ya neno "UPUNGUFU"By Dkt. Mwanahija Ali Juma
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka nchini Brazil kwenye mkutano wa COP30, ambako Dkt. Richard Muyungi, Mjumbe maalumu kwenye masuala ya mabadiliko ya tabianchi na mazingira kutoka nchini Tanzania anaeleza ni nini bara la Afrika linahitaji.Umoja wa Mataifa umekaribisha kupitishwa kwa Azimio namba 2803 la Baraza la Usalama kuhus…
…
continue reading
1
Peacekeepers warn of escalating violations along the Blue Line
7:35
7:35
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:35On Sunday, a foot patrol of the United Nations Interim Force in Lebanon (UNIFIL) was targeted by an Israeli army Merkava tank positioned inside Lebanese territory. Israel said it had been a case of “misidentification”. UN News’s Nancy Sarkis spoke to UNIFIL spokesperson Kandice Ardiel, who said the incident is part of a “deeply worrying escalation”…
…
continue reading
1
Inside the UN’s fight to end cultural heritage trafficking
11:06
11:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:06Last year, 37,000 stolen cultural objects – including artifacts, artworks, coins, and instruments – were seized by international police agency, Interpol, and law enforcement. The illicit trade in cultural property is one of the world’s oldest and most profitable forms of criminal activity – and it is increasingly being facilitated online. UN News’s…
…
continue reading
1
Simulizi ya Askalech kutoka Ethiopia - Ukatili wa kijinsia
3:06
3:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:06Dunia inajiandaa kuadhimisha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia kuanzia tarehe 25 mwezi huu wa Novemba hadi tarehe 10 Disemba, kampeni inayolenga kuongeza uelewa na kutoa wito wa kuzuia na kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na wasichana duniani kote. Na katika kuelekea maadhimisho hayo, Sabrina Saidi ameandaa taarifa kutokea huko nchini Ethio…
…
continue reading
Gaza: UNDP supports clean-up operation Sahel displacement crisis has made four million people homeless: UNHCRWorld is getting closer to being free from cervical cancer: WHOBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia kesi za mauaji ya kimbari nchini Rwanda, ukatili wa kijinsia na zoezi la mahakama tembezi nchini Sudan Kusini.Mfumo wa kimataifa wa kushughulikia mabaki ya kesi za mauaji ya kimbari (IRMCT) umeamua kuwa mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari, Félicien Kabuga, hana uwezo wa kiafya kusafiri kwenda Rwanda, uamuzi unaositisha mpang…
…
continue reading
1
UNMISS: Mahakama tembezi yasaidia kuleta haki Maban, Sudan kusini
2:34
2:34
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:34Ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Sudani Kusini UNMISS wakishirikiana na wizara ya haki na masuala ya katiba nchini humo wanaendeleza zoezi la mahakama tembezi nchini humo, mradi ambao unafadhiliwa na Ubalozi wa Norway ili kuhakikisha wananchi hususan wale walio na kesi mahakama wanapata haki. Tuungane na Sheilah Jepngetich kwa taa…
…
continue reading
1
Mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari hana uwezo wa kusafiri kwenda Rwanda: IRMCT
3:15
3:15
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:15Mfumo wa kimataifa wa kushughulikia mabaki ya kesi za mauaji ya kimbari (IRMCT) umeamua kuwa mtuhumiwa wa mauaji ya kimbari, Félicien Kabuga, hana uwezo wa kiafya kusafiri kwenda Rwanda, uamuzi unaositisha mpango wa awali wa kumhamisha kwenda nchini Rwanda ili kuachiwa kwa muda kutokana na hali yake ya kiafya kuwa tete. Flora Nducha ameifuatilia ta…
…
continue reading
Sudan war: Aid teams call for urgent access to thousands trapped in El FasherUkraine: UN condemns latest deadly attack targeting civilians in Kyiv‘Mobs’ target Palestinians in occupied West Bank, warns OHCHRBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
1
‘I’m one of the lucky ones,’ says Ethiopian climate refugee in Brazil
6:17
6:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:17As COP30 brings leaders and negotiators together from around the world, the spotlight is not only on policy but also on the real-life experiences of those most affected by climate change. From Ethiopia, Mekebib Tadesse, representing the UN refugee agency (UNHCR) delegation, brings a firsthand perspective on the human and humanitarian dimensions of …
…
continue reading
1
Je wajua nini kinasababisha ugonjwa wa kisukari na ujikinge vipi?
2:54
2:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:54Tarehe 14 Novemba kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kisukari na mwaka huu kauli mbiu ni “Kisukari katika hatua mbalimbali za maisha.” Je wafahamu ugonjwa huu unampata mtu gani na unawezaje kujikinga usiugue? Leah Mushi anatujuza zaidi.By Leah Mushi
…
continue reading
1
COP30 ni jukwaa kwa wakimbizi kupaza sauti juu ya athari za tabianchi kwao - Alfonso Herrera
2:57
2:57
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:57Wiki ya kwanza ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mabadiliko ya Tabianchi, COP30, unaofanyika Belém Brazil, ikielekea ukingoni, viongozi wa dunia na wanaharakati wanakutana kujadili jinsi ya kushughulikia moja ya changamoto kubwa za wakati huu, ‘janga la mabadiliko ya tabianchi,” Na athari zake kwa wakimbizi hazikupewa kisogo. Flora Nducha anafafanu…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ugonjwa wa kisukari, chanjo ya polio katika ukanda wa Gaza na janga la mabadiliko ya tabianchi na athari zake kwa wakimbizi.Tarehe 14 Novemba kila mwaka dunia huadhimisha Siku ya Kisukari na mwaka huu kauli mbiu ni “Kisukari katika hatua mbalimbali za maisha.” Je wafahamu ugonjwa huu unampata mtu gani na unawezaje kujik…
…
continue reading
1
WHO, UNICEF na UNRWA waanza uchanjaji zaidi ya watoto 44,000 Gaza
3:12
3:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:12Mashirika ya Umoja wa Mataifa WHO, UNICEF na UNRWA wameanzisha kampeni ya pamoja ya Uchanjaji watoto waliokosa huduma muhimu za kuokoa maisha kutokana na miaka miwili ya machafuko katika Ukanda wa Gaza umeanza kutekelezwa na mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa, lile la afya duniani, la kuhudumia watoto UNICEF na la kusaidia wakimbizi wa Kipalestin…
…
continue reading
1
Climate adaptation must protect the right to stay and the dignity to move
8:00
8:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:00Climate change is no longer a distant threat; it is already reshaping lives and communities around the world. Extreme weather – from unprecedented tornadoes to rising seas and creeping desertification – is forcing millions on the run, often within their own countries. At COP30 in Belém this week, Ugochi Daniels, Deputy Director General of the Inter…
…
continue reading
Gaza war’s impact on children is damaging and long-lastingSudan war leaves families desperate and running out of time: UNHCR1.7 million children impacted by Super Typhoon Fund-wong, warns UNICEFBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo, mtaalam wetu Onni Sigalla, Mhariri mwandamizi wa Baraza la Kiswahili la Taifa nchini Tanzania, BAKITA. Anafafanua maana za neno "KASIMU".By Onni Sigalla
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayoangazia simulizi za waahirika wa Kimbunga Melissaikiwa ni wiki ya pili sasa baada ya kupiga magharibi mwa Jamaica, na kuacha zahma kubwa kwa wakaazi. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na jifunze Kiswahili.Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres akieleza kuwa na wasiwasi mkubwa kutokana na r…
…
continue reading
1
At COP30, UNESCO calls for urgent action against climate misinformation
4:58
4:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:58At a time when false narratives about climate change are spreading faster than ever online, the UN education and culture agency, UNESCO, is calling for stronger global cooperation to safeguard information integrity. Speaking to UN News’s Felipe de Carvalho in Brazil’s coastal city of Belém which is hosting COP30, Guilherme Canela, UNESCO’s Head of …
…
continue reading
Sudan’s Kordofan in grip of increasing killings and destruction, warns UN rights chief Türk Gaza: UN aid agencies report fuel boost despite delivery obstacles Mountain vipers and Galapagos iguanas in rare company at key CITES wildlife talksBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
1
Ripoti mpya ya FAO/WFP yaonya muda unayoyoma kuzuia mamilioni kuingia kwenye njaa katika maeneo 16 hatarishi.
3:39
3:39
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:39Ripoti mpya ya pamoja kutoka mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na Kilimo Duniani (FAO) na la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) inaonya kwamba uhaba mkubwa wa chakula unazidi kuongezeka katika maeneo 16 yenye njaa duniani, hali inayoweza kusababisha mamilioni zaidi ya watu kukumbwa na njaa kali au hatari ya kufikia kiwango cha baa l…
…
continue reading
1
UNDP inavyosaidia jamii za kampala kukabili mafuriko
3:46
3:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:46Kituo cha utafiti wa kusaka Suluhu kuhusu mafuriko kinachoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo (UNDP) nchini Uganda kimetumia maarifa ya pamoja kukabiliana na changamoto za mafuriko katika eneo la Makerere Kavule, makazi yasiyo rasmi yaliyo pembezoni mwa mji wa Kampala, mji mkuu wa Uganda. Kituo hicho kimeunganisha juhudi …
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ripoti ya FAO ya uhaba wa chakula, Mwanaharakati kijana kutoka Kenya katika mkutano wa pili wa WSSD Doha, na mradi wa Mifereji ya Maji wa Jiji la Kampala (Kampala Capital City Drainage Master Plan) inayosaidia kupunguza mafuriko Uganda.Ripoti mpya ya pamoja kutoka mashirika mawili ya Umoja wa Mataifa lile la Chakula na …
…
continue reading