Global perspective Human stories
…
continue reading
Un Global Communications Digital Solutions Unit Podcasts
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
Gaza: Aid supplies are on standby, we are ready to deliver, says UN chiefCondemnation for deadly Myanmar airstrike on civiliansDespite war in Sudan, relief teams get vaccines to vulnerable populations: UNICEFBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Gaza City ‘almost deserted’ as the war enters its third yearWHO warns Gaza’s health system ‘on the brink of collapse’ ahead of regional health summitUN and city leaders warn of housing emergency across EuropeBy Katy Dartford, UN News
…
continue reading

1
‘Time running out to locate Syria’s missing’, warns head of UN-backed body
18:20
18:20
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
18:20At UN Headquarters in New York, Karla Quintana, head of the Independent Institution on Missing Persons in Syria (IIMP), has warned that time is running out to find the hundreds of thousands who disappeared during the country’s long conflict. “Everyone in Syria knows someone who has gone missing,” Ms. Quintana told UN News.In conversation with Ezzat…
…
continue reading

1
Wapiga picha wanawake waonesha harakati za amani za wanawake mashinani
4:09
4:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:09Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa kuna maonesho ya picha 32 zinazoonesha harakati za wanawake kwenye maeneo yenye mizozo kusongesha amani na usalama, kwa mujibu wa azimio namba 1325 lililopitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa miaka 25 iliyopita. Maonesho ya picha hizi zilizopigwa na wanawake yamepatiwa jina Kupitia Lensi Yake na ya…
…
continue reading

1
Olukemi Ibikunle kutoka Nigeria atwaa tuzo ya Umoja wa Mataifa ya Muonesha Njia 2025
3:25
3:25
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:25Mwaka huu, Tunzo ya Umoja wa Mataifa ya “Muonesha njia” au kwa kiingereza Trailblazer imekwenda kwa Olukemi Ibikunle, afisa wa magereza kutoka Nigeria anayehudumu katika ujumbe wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo MONUSCO. Tunzo hii inatambua mchango wake mkubwa katika kazi za haki na magereza kwenye opereshe…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia tunzo ya Umoja wa Mataifa ya “Muonesha njia” au kwa kiingereza Trailblazer, juhudi za wapiga picha wanawake kwenye maeneo yenye mizozo katika kusongesha amani na usalama, na wafugaji Samburu nchini Kenya.Mwaka huu, Tuzo ya Umoja wa Mataifa ya “Muonesha njia” au kwa kiingereza Trailblazer imekwenda kwa Olukemi Ibikunle, …
…
continue reading

1
Ushirikiano wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na Kaunti ya Samburu unatekeleza SDG 2
2:17
2:17
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:17Mashirika matatu ya Umoja wa Mataifa na serikali ya Kenya wanatekeleza mradi unaowashirikisha wananchi wa Kauti ya Samburu katika kuhakika kuna upatikanaji wa chakula kwani eneo hilo linahali ya ukame ikiwa ni hatua mojawapo ya kutafsiri na kutekeleza malengo ya maendeleo endelevu ya Umoja wa Mataifa SDGs huko mashinani. Tuungane na Sheilah Jepnget…
…
continue reading
By Katy Dartford, UN News
…
continue reading
By Onni Sigalla
…
continue reading
By Flora Nducha
…
continue reading

1
Wadau wa afya wazindua muongozo mpya wa kukomesha vifo vinavyotokana na kutokwa damu baada ya kujifungua
2:46
2:46
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:46By Leah Mushi
…
continue reading

1
UN: Miji inabeba mzigo mkubwa wa migogoro lakini pia ndio kitovu cha Suluhu
3:07
3:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:07By Flora Nducha
…
continue reading
By Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
By Assumpta Massoi
…
continue reading

1
UNESCO: Uongozi shirikishi ni muhimu kwa mafanikio ya walimu na matokeo ya wanafunzi
2:06
2:06
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:06By Assumpta Massoi
…
continue reading

1
DR Congo: UN mission chief salutes resilience amid civilian suffering in the east
11:26
11:26
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
11:26The head of the UN peacekeeping mission in the Democratic Republic of the Congo, MONUSCO, is urging people in the restive eastern part of the country not to lose hope after years of conflict. Binto Keita spoke to UN News’s Jérôme Bernard a few days after she briefed the Security Council in New York on the overall situation in the DRC. She emphasize…
…
continue reading
Drone victims, terror and death: 30 minutes in a Gaza hospital: UNICEF, WHOHaiti: 8,000 people facing famine-like conditions, warns WFPUkraine war more deadly than ever, warns UN rights chiefBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Kenya: Mradi wa PLEAD Kenya yaleta mabadiliko chanya katika uwezeshaji wa kisheria
4:55
4:55
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:55Mashirika ya Umoja wa Mataifa, lile la Mpango wa Maendeleo, (UNDP) na la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) kwa ushirikiano na viongozi wa sheria nchini Kenya hadi mashinani wamezindua mpando wa PLEAD unaolenga kuboresha mfumo wa haki katika kaunti 12 nchini humo. Lengo lao ni kuimarisha haki jumuishi kwa kutoa majawabu mbadala badala …
…
continue reading

1
UN: Buriani Jane Goodall, mwanamazingira na mtaalamu wa sokwe
2:49
2:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:49Kufuatia kifo cha Jane Goodall mwanamazingira, mtaalamu wa sokwe na nyani, halikadhalika mjumbe wa amani kilichotokea Jumatano Oktoba 1 leo tunakurejesha mwaka 2002 alipoteuliwa kuwa mjumbe wa amani, halikadhalika salamu za rambirambi kufuatia kifo chake. Assumpta Massoi anakuletea taarifa zaidi kuhusu mwanamazingira huyo aliyefariki dunia akiwa na…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia huduma za afya katika hospital Gaza, mradi wa PLEAD nchini Kenya na mafanikio yako katika kesi za mashinani, na kifo cha Jane Goodall mwanamazingira, mtaalamu wa sokwe na nyani, halikadhalika mjumbe wa amani.Umoja wa Mataifa umeonya kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza imefikia hatua ya kutisha, huku hospitali …
…
continue reading

1
Gaza: Mashirika ya UN yaonya kuwa hospitali zimegeuka kuwa uwanja wa mapambano
2:58
2:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:58Umoja wa Mataifa umeonya kuwa hali ya kibinadamu katika Ukanda wa Gaza imefikia hatua ya kutisha, huku hospitali zikigeuzwa kuwa uwanja wa mapambano, kukizidiwa na wagonjwa na misaada kukwama. Maafisa wa Umoja wa Mataifa wameaambia waandishi wa habari leo mjini Geneva kuwa kuwa watoto wanakosa hewa ya oksijeni, wagonjwa wanakufa kwenye meza za upas…
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili leo ukumbi ni wake mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana za maneno "USHINZI NA USHENZI"By Joramu Nkumbi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika ujumbe wa Omon Ukpoma-Olaiya, Kiongozi wa Uwekezaji wa UNCDF kwa Kanda ya Afrika Mashariki, Kusini na Nchi za Kiarabu. Pia tunakuletea muhtasari wa habari na uchambuzi neno la wiki.Haiti, hali ya kibinadamu imefika kiwango cha hatari, amesema Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataif…
…
continue reading
Haiti: Human rights chief Türk condemns use of drones on gangsGaza’s maternity wards full, mothers and babies in danger: UNFPA, UNICEFSyria prison survivor’s pursuit of justice for those still missingBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Gaza children among latest medical evacuations from war zone ‘Trust crisis’ threatens vaccine confidence and global uptakeHaiti: Security Council approves new force to target gang violenceBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Gaza - Matumizi ya plastiki kama nishati ya kupikia yasababisha kuenea kwa magonjwa ya kupumua
2:49
2:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:49Huko Ukanda wa Gaza eneo la Palestina linalokaliwa kimabavu na Israel wanawake katika eneo la Deir al- Balah wanalazimika kutumia majiko ambayo wanachochea taka za plastiki na makaratasi ili kupota moto wa kuweza kupikia chakula. Hali hiyo imesababisha kuenea kwa magonjwa ya kupumua kama vile numonia na pumu. Tuungane na Leah anayetujuza zaidi…
…
continue reading

1
Lazima tutambue mchango wa wazee katika kuunda jamii zenye haki - UN
3:07
3:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:07Tuanzie hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambako kumefanyika tukio maalum la kuadhimisha siku ya wazee duniani leo Oktoba Mosi, kaulimbiu ikiwa Wazee Wanaendesha Hatua za Kijamii na Kimaisha: Matamanio Yetu, Ustawi Wetu na Haki Zetu. Anayekupeleka ukumbini ni Flora Nducha.By Flora Nducha
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia Siku ya Kimataifa ya Wazee duniani na mchango wao kwa jamii, hali ya afya katika ukanda wa Gaza, na simulizi ya Balozi Mwema wa UNICEF, Angelique Kidjo.Hapa makao makuu ya Umoja wa Mataifa ambako kumefanyika tukio maalum la kuadhimisha siku ya wazee duniani leo Oktoba Mosi, kaulimbiu ikiwa Wazee Wanaendesha Hatua za Kij…
…
continue reading

1
Angelique Kidjo, Mwanamuziki, asimulia safari yake ya elimu akiunga mkono wito wa UNICEF kwa viongozi wa Afrika
3:22
3:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:22Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto, UNICEF linatoa wito kwa viongozi wa Afrika kufanya uwekezaji wa kifedha wa busara utakaowezesha watoto kupata ujuzi wa msingi wa kujifunza na mustakabali wenye nguvu kwa bara la Afrika. Balozi Mwema wa UNICEF, Angelique Kidjo, katika kuunga mkono wito huo anasimulia safari yake kutoka kujifunza alfab…
…
continue reading

1
EAC yasisitiza usalama, uchumi na masuala ya kidijitali katika Mjadala Mkuu wa UNGA80
9:11
9:11
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:11Kama unavyofahamu Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80 umekunja jamvi rasmi jana Jumatatu. Na tumepata fursa ya kuzungumza na washiriki mbalimbali akiwemo Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC, Veronica Nduva ambaye alizungumza na Flora Nducha kandoni mwa mjadala huo kuangazia mchango wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika …
…
continue reading

1
‘More robust force needed to turn the tide’ in Haiti
8:50
8:50
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:50A larger and more robust force in Haiti could help “turn the tide” against murderous gangs and give Haitians hope for the future, according to the UN’s designated expert on the human rights situation in the Caribbean country, William O’Neill. Up to 90 per cent of the Haitian capital Port-au-Prince is controlled by numerous gangs who murder with imp…
…
continue reading

1
‘Our Voices Matter’: young climate leader calls for girls’ empowerment
5:09
5:09
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
5:09At just 15 years old, Zunaira Qayyum has already emerged as a climate champion and a UN Children’s Fund (UNICEF) Youth Advocate for Climate Action and Girls’ Empowerment in Pakistan. In 2022, she began researching how floods and heatwaves in her hometown of Hub, Balochistan, were forcing girls out of school. Her work earned her recognition as one o…
…
continue reading
With all eyes on possible deal to end Gaza war, UN aid agencies stress need for ceasefireAfghanistan: Taliban internet blackout impacts lifesaving relief effortDR Congo crisis leaves peace a distant prospect, Security Council hearsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika ujumbe wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki EAC, Veronica Nduva ambaye alizungumza na Flora Nducha kandoni mwa UNGA80. Pia tunakuletea muhtasari wa habari kama zifuatazo.Ikiwa ni zaidi ya miaka minane tangu zaidi ya wakimbizi 750,000 waislamu wa kabila la warohingya wakimbie Myanmar ku…
…
continue reading
Ukraine suffers renewed, massive Russian strikes overnight Gaza: UN Human Rights condemns healthcare attacksMaria Ressa: It’s time to push back against AI and Big Tech’s threat to truthBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Anti-personnel landmines: The ‘dumbest weapon in the world’
4:58
4:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
4:58As war in Ukraine intensifies, five European countries – Estonia, Lithuania, Latvia, Finland and Poland – withdrew this year from the Ottawa Convention banning landmines and the Convention on Cluster Munitions – a move that is deeply concerning Tamar Gabelnick. As Director of both the International Campaign to Ban Landmines (ICBL) and the Cluster M…
…
continue reading

1
Mizozo inayoendelea duniani, uchumi Afrika vyatawala siku ya mwisho ya mjadala mkuu
3:03
3:03
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:03Viongozi wa mataifa ya nchi wanachama 16 waliopanda kwenye mimbari ya ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo Jumatatu ya tarehe 29 Septemba 2025 ambayo ndio ukomo wa Mjadala Mkuu wa mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, (UNGA80) wamepaza sauti zao kuhusu masuala mbalimbali yanayokumba dunia hivi sasa ikiwemo vita Gaza, na hali …
…
continue reading

1
Ili Afrika ‘iimarike kiafya’ inabidi isiwe tegemezi kwenye masuala ya kifedha: Dkt. Ntuli Kapologwe
3:29
3:29
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:29Hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa, kandoni mwa Mjadala Mkuu wa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, UNGA80, inafanyika mikutano mingine ya pembezoni kujadili masuala mengine ya kusongesha maendeleo ya ulimwengu. Wiki iliyopita tulizungumza na Dkt. Ntuli Kapologwe Mkurugenzi Mkuu wa Jumuiya ya Afya ya Mashariki, Kati na Kusini …
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia leo Mjadala Mkuu wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80 tukimulika hotuba za viongozi na mikutano mingine ya pepmbezoni kuhusu malengo ya maendeleo enedelevu, SDGs.Viongozi wa mataifa ya nchi wanachama 16 waliopanda kwenye mimbari ya ukumbi wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa hii leo Jumatatu ya tarehe 2…
…
continue reading

1
Afrika imedhamiria kuhakikisha ina sauti na nafasi Baraza la Usalama la UN: Balozi Lokaale
3:04
3:04
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:04Leo Mjadala Mkuu wa ngazi ya juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80 hotuba za viongozi ukifunga pazia, Afrika imeweka bayana kauli moja ya mshikamano, kwamba lazima iwe na viti na sauti kwenye Baraza la Usalama na kuahidi kufanya kila liwezekanalo kuhakikisha dhamira hiyo inatimia. Mchakato ulishaanza na unaendelea kuelekea lengo hilo kama am…
…
continue reading

1
UNGA80 na maelezo kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza NDCs - Dkt. Mohamed Yakub Janabi
7:43
7:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:43Mada hii kwa kina inamulika mkutano wa ngazi ya juu kuhusu magonjwa yasiyo ya kuambukiza NDCs unaoendelea kandoni mwa Mjadala Mkuu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa UNGA80. Flora Nducha wa Idhaa hii amepata fursa ya kuzungumza na mmoja wa wazungumzaji wa Mkutano huo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa WHO Kanda ya Afrika Dkt. Moh…
…
continue reading