Global perspective Human stories
…
continue reading
Un Global Communications Digital Solutions Unit Podcasts
UN News interviews a wide range of people from senior news-making officials at Headquarters in New York, to advocates and beneficiaries from across the world who have a stake in helping the UN go about its often life-saving work in the field.
…
continue reading
Mtazamo wa Kimataifa Habari za kiutu
…
continue reading
This flagship podcast series from UN News takes its name from the words that correspondents at UN Headquarters in New York hear each night, at the end of the working day. We highlight the in-depth human stories behind the UN’s work and the way that it touches and impacts ordinary lives around the world. During UN High-Level week UN News is releasing a daily podcast mini-series, designed to make sense of what’s going on at our New York HQ. Each episode of Focus on the Future will have a main ...
…
continue reading

1
Sudan: ‘I survived rape, but I do not know how to survive life after it’
14:07
14:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
14:07Over two years after civil war erupted between the Sudanese Armed Forces (SAF) and their former allies-turned rival militia, the RSF, Sudan is now the world’s largest humanitarian crisis, with nearly 13 million displaced. Rape used as a weapon of war, together with other sexual violence, has disproportionately shattered the lives of women and girls…
…
continue reading

1
Guterres: Tuepushe kauli za chuki kwenye ujumbe chanya
1:53
1:53
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:53Leo Juni 18 ni siku ya kimataifa ya kupambana na kauli za chuki ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametumia ujumbe wake kwa siku hii kutoa onyo kuhusu hatari zinazoongezeka za chuki mtandaoni, hasa zikichochewa na akili mnemba au (AI) na na majukwaa ya kidijitali. Flora Nducha na taarifa zaidi.…
…
continue reading

1
Ujumuishaji wazazi wa kiume kwenye malezi ya watoto waleta manufaa kwa jamii
2:12
2:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:12Katika Kaunti ya Kilifi, iliyoko pwani ya Kenya barani Afrika, Mpango wa Kuboresha Lishe kwa kupatia jamii Fedha na Elimu ya Afya (NICHE) unasaidia kuwaelimisha wazazi kuhusu umuhimu wa baba na mama kulea watoto wao kwa pamoja, mradi unaotekelezwa na shirika la Umoja wa MAtaifa la kuhudumia watoto, UNICEF. Assumpta Massoi anamulika moja ya familia …
…
continue reading
Iran-Israel crisis: UN rights office issues appeal for urgent de-escalationNearly one in two Yemenis facing acute hungerGlobal support for refugees holding firmBy Anna O’Donnell, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ujumbe wa Katibu Mkuu Guterres, wa siku ya kimataifa ya kupambana na kauli za chuki na mradi wa lishe bora kwa watoto huko Kilifi Kenya. Makala tunakwenda nchini Rwanda na mashinani nchini Ghana, kulikoni?Leo Juni 18 ni siku ya kimataifa ya kupambana na kauli za chuki ambapo Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guter…
…
continue reading

1
Mafanikio ya Mradi wa ACP MEAs 3 Rwanda katika kuboresha kilimo endelevu
3:40
3:40
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:40Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO, kwa kushirikiana na Serikali ya Rwanda, linaendelea kujenga uwezo wa kitaifa katika kuhimiza matumizi ya mbinu rafiki kwa mazingira katika kilimo pamoja na usimamizi salama wa viuatilifu. Hili linafanyika kupitia utekelezaji wa awamu ya tatu ya mradi wa ACP MEAs 3 unaofadhiliwa na Muungano wa Ul…
…
continue reading
Gaza health system close to disaster: WHOUkrainians suffer another night of heavy Russian bombingAfghanistan and Yemen are worst in world for gender, says UN WomenBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imetunga sera jumuishi zinazotetea haki za watu wenye ulemavu - Abeida Rashid Abdallah
6:27
6:27
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:27Mahojiano hayo leo inamulika juhuddi za Serikali ya Mapinzudi ya Zanzibar katika kuwajumuisha watu wenye ulemavu kwenye masuala mbalimbali katika jamii, Abeida Rashid Abdallah Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto ya kisiwani humo hivi karibununi akiwa kwenye Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa kushiriki mkutano wa 69 wa kami…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayomulika juhuddi za Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kuwajumuisha watu wenye ulemavu kwenye masuala mbalimbali katika jamii, tukipata ujumbe wa Abeida Rashid Abdallah Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia wazee na watoto ya kisiwani humo amabye hivi karibuni alihudhuria mkutano wa CSW…
…
continue reading
What does climate change look like through a child’s eyes? From Nepal’s melting glaciers to the Maldives’ rising seas, the impacts are vastly different. With more at stake in the future than older generations, young people around the world are taking notice – be it protecting medicinal plants in remote mountain villages, or speaking on global stage…
…
continue reading
UN nuclear watchdog stands ready amid Iran-Israel crisisUNRWA chief appeals for peace in Gaza and the regionHumanitarian aid appeal slashed due to ‘brutal funding cuts’By Dianne Penn, UN News
…
continue reading

1
Akili mnemba na watu wenye ulemavu ni moja ya ajenda za COSP18 tutakazozingatia Tazania: Mpanju
2:51
2:51
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:51Mkutano wa Umoja wa Mataifa wa 18 COSP18 wa mkataba wa watu wenye ulemavu CRPD, uliokunja jamvi mwishoni mwa wiki kwenye Makao Mkuu ya Umoja wa Mataifa ulijadili ajenda mbalimbali za kuhakikisha watu wenye ulemavu wanajumuisha, kushirikishwa na kutoachwa nyumba. Amon Anastaz Mpanju Naibu Katibu Mkuu wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia, wanawake na…
…
continue reading

1
FAO/WFP: Nchi 13 katika ongezeko la njaa, 5 kati ya hizo wanakabiliwa na njaa kali zaidi
1:56
1:56
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:56Ripoti mpya ya pamoja ya Umoja wa Mataifa inaonya kuwa watu katika nchi 5 kati ya nchi 13 zenye njaa kali duniani wako kwenye hatari kubwa ya kukumbwa na njaa kali, vifo na maafa ikiwa msaada wa kibinadamu hautatolewa haraka na juhudi za kimataifa hazitaelekezwa kukomesha migogoro, kupunguza ufurushwaji na kuongeza msaada wa haraka kwa kiwango kiku…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia baa la njaa katika nchi 13 duniania amabzo hakuna uhakika wa chakula, na hali ya kibinadamu kwa wakimbizi wa DRC. Makala tunasalia hapa makao makuu na mashinani tunakwenda nchini Nepal, kulikoni?Ripoti mpya ya pamoja ya Umoja wa Mataifa iliyotolewa leo jijini Roma, Italia inatahadharisha kuwa watu katika nchi 5 kati ya …
…
continue reading

1
UNDP yaomba msaada kusaidia wakimbizi wa ndani kujikwamua mashariki mwa DRC
1:58
1:58
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:58Huko jimboni Kivu Kaskazini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, juhudi za kidiplomasia zinaendelea kumaliza mapigano, huko nalo shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Maendeleo, UNDP likitoa wito wa msaada kwa watu waliofurushwa makwao kutokana na mashambulizi ya waasi wa M23, msaada ambao utawasaidia kujenga upya maisha yao na …
…
continue reading

1
Time to ‘change the tide’ in the Caribbean says regional climate expert
8:54
8:54
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
8:54Small island States are among the most vulnerable communities facing rising sea levels and marine degradation – but this invaluable firsthand experience puts them in a powerful leadership position to shape inclusive, effective ocean policies. Safiya Sawney, Grenada’s Special Envoy and Ambassador for Climate, has been at this week’s UN Ocean Confere…
…
continue reading
Israel-Iran crisis: UN chief urges calm after overnight strikesVictims of DRC violence start to rebuild shattered lives and livelihoodsEastern Chad ‘reaching a breaking point’ as Sudan war refugees continue to arriveBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
The vulnerable and forgotten: trafficked persons with disabilities
7:35
7:35
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
7:35Persons with disabilities living in institutions face a heightened risk of being trafficked as their reliance on others for daily support can be manipulated; that’s according to an expert in disability rights speaking at the United Nations. Eric Rosenthal leads Disability Rights International. He told a side event at COSP, the UN’s largest annual m…
…
continue reading

1
Hopeful Syrians head home to an uncertain future
15:07
15:07
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
15:07Since the fall of the Assad regime in December 2024, 1.9 million Syrian refugees have headed home to Syria. After 14 years of civil war, much of the country is in ruins, while over 90 per cent of the population lives below the poverty line. Yet, Syrian refugees are not losing hope: UN refugee agency, UNHCR, has found that more than 80 per cent of t…
…
continue reading
Katika Jarida la Umoja wa Mataifa leo Flora Nducha anakuleteaUmoja wa Mataifa walaani vikali mashambulizi ya Israel dhidi ya vinu vya nyuklia Jamhuri ya IranHuko Ituri Mashariki mwa DRC walinda amani wa Mpango wa Umoja wa Mataifa MONUSCO watoa huduma za afya kwa wananchiLeo ni siku ya kimataifa ya kuelimisha umma kuhusu watu wenye Ualibino katika m…
…
continue reading

1
Umoja wa Mataifa umefanya vema kuangazia saratani ya ngozi kwa wenye ualbino - Khadija Shaaban Taya (Keisha)
3:26
3:26
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:26Leo Ikiwa ni Siku ya Kimataifa ya Kuelimisha umma kuhusu Ualbino, Anold Kayanda wa idhaa hii anazungumza na Khadija Shaaban Taya almaarufu Keisha, Mbunge katika Bunge la Tanzania alipohudhuria mkutano wa mkataba wa watu wenye ulemavu uliofanyika wiki hii hapa katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani. Keisha anaanza kwa kuelez…
…
continue reading

1
Pamoja na ulinzi wa raia, walinda amani wa UN Ituri waendesha kampeni ya afya..
1:48
1:48
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:48Huko jimboni Ituri, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC, walinda amani wa Umoja wa Mataifa kutoka Bangladesh wameendesha kampeni ya afya na kusaidia wakimbizi wa ndani kupata matibabu katika eneo hilo lililogubikwa na mashambulizi ya mara kwa mara kutoka kwa waasi. Assumpta Massoi anasimulia zaidi.…
…
continue reading

1
Mashambulizi ya Israeli dhidi ya Iran, yalaaniwa vikali na UN..
2:12
2:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:12Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres, amelaani mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, akionya juu ya hatari ya kuongezeka kwa mvutano katika eneo la Mashariki ya Kati huku mkuu wa wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA), Rafael Mariano Grossi amesema wanafan…
…
continue reading
Oceans summit biodiversity czar warns over lack of ambitionDisplacement doubles while funding shrinks, warns refugee agency Atomic watchdog says Iran not complying with nuclear safeguardsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Katika kujifunza lugha ya Kiswahili hii leo mchambuzi wetu mlumbi wa Kiswahili Joramu Nkumbi kutoka nchini Tanzania, anafafanua maana ya maneno "MBEUZI, MNYWANYWA NA MACHAGU.”By Joramu Nkumbi
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina na leo ikiwa ni siku ya kimataifa ya kupinga utumikishaji wa watoto ambapo shirika la Umoja wa Mataifa la Kazi duniani, ILO, linasema maudhui ni Maendeleo yako dhahiri, lakini bado kuna mengi ya kufanya: Hebu tuongeze kasi. Tunakupeleka nchini Tanzania kumulika harakati za kuwaepusha watoto kutumikishwa.Wa…
…
continue reading
At least eight migrants are dead after smugglers force passengers off Red Sea boat: IOMGaza aid obstacles remain, say UN aid teams in shattered enclaveThe world pledged to ban child labour – so why are 138 million kids still working?By Daniel Johnson, UN News
…
continue reading

1
Masuala ya watu wenye ulemavu ni lazima yapewe nafasi kimataifa: Jakeel D. Abdullah
1:59
1:59
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:59Katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu COSP18, kinaendelea na mwaka huu, mada kuu ni kuongeza uelewa wa haki na mchango wa watu wenye ulemavu katika maendeleo ya kijamii. Miongoni mwa washiriki ni ya kijana kutoka Louisiana, hapa Marekani. Je amesema nini? Flo…
…
continue reading

1
Akili Mnemba (AI) au teknolojia inaweza kuwasaidia watu wenye ulemavu – Bongani Simphiwe Makama
3:49
3:49
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
3:49Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu Wenye Ulemavu – COSP18 – kinaendelea hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani ikiangazia juhudi za kimataifa za kuhakikisha usawa na ujumuishaji kwa watu wenye ulemavu. Miongoni mwa washiriki ni Bongani Simphiwe Makama mwakilishi wa watu wenye ulemavu kutoka Ufalme wa …
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia ajali mbayá ya meli katika pwani ya Djibouti lililokuwa linabeba wahamiaji wengi. Pia tunasalia hapa makao makuu ambapo Kikao cha 18 cha Nchi Wanachama wa Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu COSP18. Mashinani tutakwenda nchini DRC.Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, (IOM) kwa ushirikiano wa karibu na mamlaka za D…
…
continue reading

1
IOM yachukua hatua za dharura baada ya wahamiaji kufa maji katika pwani ya Djibouti
1:52
1:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
1:52Shirika la Umoja wa Mataifa la Uhamiaji, (IOM) kwa ushirikiano wa karibu na mamlaka za Djibouti, linaongeza juhudi zake za kibinadamu kufuatia tukio la kusikitisha lililotokea pwani ya Djibouti ambapo takriban wahamiaji wanane walikufa maji na wengine 22 hawajulikani walipo. Anold Kayanda na maelezo zaidi.…
…
continue reading

1
‘Decent work for the parents’ is key to solving child labour
9:05
9:05
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
9:05Ensuring that parents have opportunities for “decent work” is essential to reducing the number of young people, currently estimated to be 138 million globally, who are engaged in child labour, according to the UN. The internationally-agreed goal was to end child labour by 2025 and while the number has decreased by 12 million since 2020, millions of…
…
continue reading
We’re nearly at point of no return to save our oceans: UN chiefSudan emergency: We need more help to prevent famine, says WFPAt least three dead in new Russian drone assault on Ukrainian citiesBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading
Hii leo jaridani tunakuletea mada kwa kina inayotupeleka katika ukanda wa Gaza, huko mashariki ya Kati kwenye eneo la Palestina lialokaliwa kimabavu na Israeli ambapo vinazidi kuibua changamoto mpya kila uchao.Changamoto ya uzazi duniani si kuhusu watu kukataa kuwa wazazi ni kuhusu kunyimwa fursa ya kuchagua kuwa mzazi imesema ripoti mpya ya shirik…
…
continue reading

1
UNEP inashirikiana na taifa la Tanzania kupambana na taka za plastiki - Clara Makenya
6:43
6:43
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:43Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataiifa kuhusu Bahari UNOC3 ukiendelea mjini Nice, Ufaranzsa, tunakuletea mahojiano kati ya Nafisa Didi afisa habari wa kituo cha habari cha Umoja wa Mataifa nchini Tanzania UNIC Dar es salaam na Clara Makenya, Mkuu wa Ofisi ya Shirika la Umoja wa Mataifa la Mazingira UNEP nchini Tanzania na Afisa Mawasiliano wa shirika…
…
continue reading

1
Mustakabali wa bahari u mikononi mwetu sisi tunaoiharibu - UN
2:22
2:22
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:22Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufaransa ambapo Katibu Mkuu wa Umoja huo António Guterres bila kumung’unya maneno ameelezea bayana jinsi binadamu anavyozidi kuhatarisha ustawi wa bahari lakini akionesha matumaini ya hali bora ya bahari iwapo hatua zitachukuliwa kwa maslahi ya binadamu na viumbe vya bah…
…
continue reading
Hii leo jaridani tunaangazia Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufaransa, na masuala ya baharini ikiwa ni pamoja na uvuvi nchini Sao Tome, umuhimu wa kutunza mazingira nchini Kenya na uondoaji wa taka za plastiki Tanzania.Mkutano wa tatu wa Umoja wa Mataifa kuhusu bahari umeanza leo huko Nice nchini Ufara…
…
continue reading

1
São Tomé na Príncipe: Viumbe wa bahari, samaki, ni chanzo cha mapato, kuinua jamii na kuondoa umaskini
2:00
2:00
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
2:00Nchini São Tomé na Príncipe, nchi ya visiwa viwili vidogo huko Afrika ya Kati, mpango wa FISH4ACP unaoendeshwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo FAO unalenga kusaidia wavuvi na wauzaji samaki hasa wanawake na vijana kuongeza kipato na manufaa ya kijamii kwa njia endelevu huku wakipunguza athari mbaya kwa makazi ya asili na viumbe …
…
continue reading
From the Mediterranean coast, Guterres calls for action to save our oceansIran urged to ‘cooperate fully and effectively’ with the IAEAUN allocates $6 million to tackle Nigeria malnutrition crisisBy Dianne Penn, UN News
…
continue reading

1
A powerful planetary helper: Ocean phytoplankton
6:12
6:12
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
6:12Ocean phytoplankton may be tiny, but their impact on the planet is enormous. These microscopic organisms form the foundation of marine food chains and play a vital role in carbon sequestration and climate regulation. At the UN Ocean Conference taking place on the French Riviera, UN News’s Fabrice Robinet spoke to Alexandra Worden, a Boston native a…
…
continue reading

1
International community prepares to tackle marine life extinction threat
23:52
23:52
Play later
Play later
Lists
Like
Liked
23:52In this episode of The Lid Is On, experts discuss the urgent need to restore the Ocean, which is facing a host of threats that could drive millions of marine life species into extinction and even endanger humanity. The protection of marine biodiversity will be under discussion at the UN Ocean Conference in June, where advocates will join politician…
…
continue reading
Gazans’ daily food intake set to fall well below survival level: FAO33 million children suffer from 'wasting' in 15 countries: WFPBelarus: UN experts alarmed by persisting violations of trade unionists’ rightsBy Daniel Johnson, UN News
…
continue reading